Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama na unaendelea vizuri. Leo ni siku bora sana na ya kipekee kwetu hivyo tunaalikwa kumshukuru Mungu kwa zawadi ya siku hii ya leo lakini pia tunaalikwa kutumia vizuri wakati wetu. Kumbuka rafiki maisha ni muda. Mpendwa msomaji, …
Continue reading "Ufahamu Umuhimu Wa Kujiwekea Mipaka Katika Maisha Yako"