Mambo Ishirini (20) Usiyoyajua Kwenye Kitabu Cha All Time Essential For Entrepreneurs

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri. Hongera sana rafiki kwa zawadi ya siku hii ya leo ambapo ni jumamosi ya kwanza kabisa katika mwezi huu wa tatu. Tumia vizuri siku yako ya leo kwenye mambo chanya na wala siyo hasi. Mpendwa …

Aina Mbili(02) Za Uwekezaji Unazotakiwa Kuzifahamu Leo Kwenye Maisha Yako

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu hujambo na unaendelea vizuri kupambana na harakati za kila siku kwenye maisha yako. Hongera sana rafiki kwa zawadi ya siku hii ya leo kwani leo ni siku bora na ya kipekee sana kwetu hivyo basi, tunaalikwa kutumia siku yetu vizuri …

Mambo Ishirini (20) Unayoweza Kujifunza Kutoka Katika kitabu Cha The Hard Truths About Soft Skills

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri katika maisha yako. Leo ni siku bora na ya kipekee kwetu hivyo tunaakikwa kuitumia vizuri zawadi hii tuliyopewa bure kuboresha maisha yetu. Rafiki, kuna watu wanashindwa kuwa waaminifu wanaiba maandiko yangu halafu wanajimilikisha wao kwa …

Falsafa Muhimu Ya Kujijengea Ndani Ya Mwezi Huu

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama siku hii ya leo na unaendelea vizuri kabisa katika shughuli zako za kila siku. Leo ni siku ya kwanza kabisa ya mwezi wa tatu katika mwaka 2017, ni zawadi ya kipekee kwetu kumshukuru Mungu kwa zawadi ya …

Jeshi Muhimu Unalopaswa Kuliheshimu Hapa Duniani Kuliko Majeshi Yote

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni imani yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri huku ukiwa umeianza siku yako kwa ushindi mkubwa. Kuna watu kila siku lazima waianze siku yao kwa ushindi mkubwa na wengine wanaanza siku yao kwa kushindwa kabla hata hajamaliza siku yake. Hakuna mtaji wa kuanza …

Haya Ndiyo Mafanikio Ya Kwanza Unayopaswa Kuwa Nayo Katika Maisha Yako

Habari mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo?  Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri kuwajibika katika kazi zako za kila siku. Hongera sana rafiki yangu kwa zawadi ya siku hii ya leo kwani leo ni siku bora sana na ya kipekee kwetu kwenda kuthubutu na kufanya makubwa. Kwahiyo, tunaalikwa kutumia vema …

Faida Tatu(03) Za Kuwahi Eneo La Tukio Mapema

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama na unaendelea vizuri na hongera sana rafiki kwa zawadi ya maisha hivyo basi, ni vema kutumia muda wako vizuri. Mpendwa msomaji, napenda kutumia nafasi hii kuweza kukualika tena katika makala yetu ya leo ili tuweze kujifunza wote …

Uchambuzi; Mambo Muhimu Unayoweza Kujifunza Kwenye Kitabu Cha Don’t Go Back To School

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu umeamka salama na unaendelea vizuri. Karibu tena katika kona yetu ya uchambuzi wa Kitabu ambapo leo nitakwenda kukushirikisha mambo muhimu niliyojifunza kupitia Kitabu hiki cha Don't Go Back To School. Mambo 20 niliyojifunza katika kitabu cha DON'T GO BACK TO …

Kama Wewe Ni Mfuatiliaji Wa Habari,Basi Usikubali Kupitwa Na Habari Hii Muhimu Kwako

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama na umeianza siku yako nzuri katika hali ya mtazamo chanya wa kwenda kufanya mambo makubwa na yenye tija kwenye maisha yako. Leo ni siku bora sana na ya kipekee kwetu ,tunamshukuru Mungu kwa kuweza kutustahilisha tena kuiona …

Jambo Muhimu La Kusimamia Kwenye Maisha Yako

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni imani yangu kuwa umeamka salama tena siku hii ya leo. Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya siku hii ya leo hivyo basi leo ni siku bora sana na ya kipekee kwetu kwenda kufanya makubwa kwenye maisha yetu. Tumia vema zawadi ya siku hii …

Design a site like this with WordPress.com
Get started