Madhara Ya Kushindwa Kutimiza Majukumu Yako Kwenye Mahusiano Uliyonayo

Ukiangalia kwenye mitandao ya kijamii au watu wanavyoonesheana upendo kwa nje ili watu wajue wanapendana unaweza kusema kweli hakuna matatizo katika mahusiano. Lakini mambo yanakuwa ni tofauti, kuna wengine ni mabingwa wa kumwaga sifa za wenzi wao katika mitandao ya kijamii na kudai kuwa wanawapenda lakini uhalisia unakuwa hauko kwenye maisha ya kweli. Kama mtu …

UCHAMBUZI WA KITABU; Hand Book of Epictetus( Misingi Muhimu Ya Falsafa Ya Ustoa)

Unaendeleaje rafiki? nimekuwa sikushiriki uchambuzi hapa kwa muda mrefu na hii ni baada ya kuamua kubadilisha mfumo kama utakua unapenda uchambuzi wa vitabu basi jiunge moja kwa moja katika mimi ni mshindi utakua unapata uchambuzi wa vitabu kila wiki kujiunga na mimi ni mshindi nimezaliwa kushinda bonyeza hapa na pia jiunge katika mfumo wetu wa …

Kijue Chanzo Kikuu Cha Ubinafsi Hapa Duniani

Kuna bahari moja ambayo iko pale mashariki na kati hii bahari kazi  yake ni kupokea tu maji kutoka kwenye vyanzo vingine vya maji lakini yenyewe haitoi maji kwa wengine. Matokeo yake yale maji yake yamekuwa ni machafu na yananuka hayafai tena kwa matumizi ya binadamu. Sifa ya dunia ni kutoa na kupokea na hii ndiyo …

Hii Ndiyo Gharama Sahihi Unayopaswa Kulipia Kwenye mipango Yako

Tumeshazoea kuwa tukitaka kununua kitu fulani ndiyo tunalipia lakini ukijaribu kuangalia kwa jicho la tatu kila kitu hapa duniani unalipia. Kila kitu kina bei yake hata kama hutoi fedha moja kwa moja lakini kuna gharama unalipia kwa kujua au kutokujua. Ukitaka kuwa na afya bora kuna gharama yake hivyo lazima ukubali kulipia bili au bei …

Kitu Pekee Kinachokutofautisha Na Wengine Ni Hiki Hapa

Rafiki, Tumeumbwa kwa mfano na sura ya Mungu sasa kwanini tunatoafutiana kimatokeo  na hata kiutendaji? Wote tumepewa uwezo mkubwa wa kufanya chochote kile kwa sababu uwezo huo tunao na uko ndani mwetu. Kwanini wengine wanaweza kuamka mapema asubuhi na wengine hawawezi, kwanini wengine wanaanzisha vitu vyao vinakwenda na wengine haviendi nini kinachotutofautisha ni swali makini …

Jinsi Unavyowapa Watu Mamlaka Juu Maisha Yako

Habari mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni imani yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri. Hongera sana rafiki yangu kwa zawadi nyingine nzuri na ya kipekee sana, leo amua kuwa siku ya furaha na ushindi kwako na nenda kaache alama katika kile unachofanya na kumbuka kutumia muda wako vizuri. Mpendwa msomaji napenda …

Haya Ndiyo Matokeo Yakufanya Maamuzi Wakati Akili Ikiwa Imetaharuki

Siku zote mtu akifanya jambo wakati akiwa katika hisia yoyote lazima aje kujuta baadaye. Hakuna hisia ambayo inaweza ikamwacha mtu salama. Hisia zinaweza kuwa hasira, furaha na kadhalika. Kupitia hisia amekuwa ni adui mkubwa wa fikra za binadamu. Kuna maadui ambao wanawazuia watu kufikiri kwa kina katika mambo yao. Adui moja wapo mkubwa ni hisia, …

Haya Ndiyo Mambo Unayokumbuka Sana Katika Maisha Yako

Rafiki, Kila mtu kuna njia zake amepitia mpaka hapo alipo leo,kweli mwanamafanikio anahadithi yake ya kumuumiza iliyomfanya mpaka hap alipo leo. Ukifikiria wapi umetoka na wapi unaenda sasa moja kwa moja unajiona wewe ni mshindi na wala haihitaji uthibitisho wa vipimo asili tu peke yake inatosha kukupa majibu.   Mpendwa msomaji, hivi ulishawahi kujiuliza ni …

Mtu Wa Kumwepuka Kumwambia Matatizo Yako

Mpendwa rafiki, Unapokuwa na changamoto unahitaji kuchagua mtu makini sana wa kumshirikisha kwa sababu siyo kila mtu ni wa kumshirikisha matatizo yako. kuna watu wengine ukiwaambia mambo yako ni kama vile umemwambia  upepo na kama tunavyojua upepo kazi yake ni kupeperusha vitu hivyo hautakuwa na ustaimilivu wa kuzuia mambo. Kuna watu ukiwaambia mambo yako ni …

Sababu Kuu Moja Kwanini Wanandoa Wengi Wanavumilia Maisha Ya Ndoa Badala Ya Kufurahia

Mpendwa rafiki, Hakuna wito ambao hauna changamoto hapa duniani, hivyo lakini hakuna mtu aliyeitwa katika wito fulani kuteseka na kusudi kubwa la wito wa ndoa siyo kuteseka bali kusudi kubwa la watu katika ndoa ni kufurahia maisha ya ndoa zao. Wanadoa wengi wanalalamika kuwa wanavumilia tu maisha ya ndoa na wala hata hawafurahii, huwa napata …

Design a site like this with WordPress.com
Get started