Ukiangalia kwenye mitandao ya kijamii au watu wanavyoonesheana upendo kwa nje ili watu wajue wanapendana unaweza kusema kweli hakuna matatizo katika mahusiano. Lakini mambo yanakuwa ni tofauti, kuna wengine ni mabingwa wa kumwaga sifa za wenzi wao katika mitandao ya kijamii na kudai kuwa wanawapenda lakini uhalisia unakuwa hauko kwenye maisha ya kweli. Kama mtu …
Continue reading "Madhara Ya Kushindwa Kutimiza Majukumu Yako Kwenye Mahusiano Uliyonayo"