Mara nyingi katika maisha ya binadamu nguvu yake iko katika imani. Imani ndiyo imebeba maisha yetu kwa ujumla na hata mipango tuliyonayo ya hapo mbeleni hata sasa tunasadiki tutaikamilisha kwa imani lakini kama hatusadiki juu ya kile tunachokifanya hatuwezi kuona matokeo. Lakini pia rafiki, binadamu ameumbwa kwa jinsi ya ajabu na moja ya kitu ambacho …
Continue reading "Kitu Kibaya Unachojiwekea Katika Maisha Yako"