Kitu Kibaya Unachojiwekea Katika Maisha Yako

Mara nyingi katika maisha ya binadamu nguvu yake iko katika imani. Imani ndiyo imebeba maisha yetu kwa ujumla na hata mipango tuliyonayo ya hapo mbeleni hata sasa tunasadiki tutaikamilisha kwa imani lakini kama hatusadiki juu ya kile tunachokifanya hatuwezi kuona matokeo. Lakini pia rafiki, binadamu ameumbwa kwa jinsi ya ajabu na moja ya kitu ambacho …

Kama Ingekuwa Tunajitoa Sehemu Zote Kama Hivi…

Huwa tunajifunza vitu sana katika jamii kwa sababu sisi wote ni sehemu ya jamii. Licha ya kutoka katika familia lakini kila mmoja wetu ni mali ya jamii na familia kazi yake ni kuzalisha wanajamii hivyo bila familia hakuna jamii. Hivyo, ukiona jamii ni mbovu basi jua tatizo liko katika familia zetu. Kama familia zetu hazina …

Kwanini hujawahi kusikia benki wakilalamika kuna chuma ulete

Mpendwa rafiki, Licha ya watu kukusanya fedha kila siku lakini kinachowarudisha watu nyuma nidhamu ya fedha. Kila fedha ina thamani inategemea inaingia katika mkono wa nani. Je mkono wako ukisha pesa inapandisha tamani ya pesa au inashusha thamani ya pesa? Thamani ya pesa iko katika mikono ya mtu je mikoni yako ni ya dhahabu katika …

Hakuna Neno Hili Kwa Yule Anayetafuta Mafanikio

Habari mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? natumaini unaendelea vizuri kupambana kuhakikisha unapata yale maisha unayotaka. Jana palijitokeza tatizo la mtandao ambalo lilikuwa nje ya uwezo wangu hivyo hivyo pole kwa usumbufu uliojitokeza kwa kukosa makala ya jana. Hivyo naomba uingie HAPA kusoma makala ya jana. Karibu sana uendelee sasa na kusoma …

Ifahamu Ratiba Ya Washindi Inavyokuwa ( 12/4/2018)

Mpendwa rafiki, Ushindi wa siku yetu unapatikana pale tu mtu anapoamka salama. Kama umeamka salama basi wewe tayari ni mshindi kwa sababu bila kuwa mzima utawezaje kupata ushindi unaotafuta. Kupitia tu kuamka salama tunakwenda kutekeleza yale yote tuliyoyapangilia kuyafanya siku hii ya leo. Lakini wengine ndiyo hivyo tena huwa hawakosi shukurani kulalamika kwao imekuwa ni …

Kitu Cha Kufanya Pale Unapokutana Na Mtu Ambaye Hana Tabasamu

Wakati unatoka nyumbani asubuhi basi utakutana na watu mbalimbali njiani hebu leo katika hao watu kumi waangalie usoni halafu utaniambia ni wangapi wanaonekana wana nyuso za tabasamu na furaha. Wengi utakao kutana nao utawaona wana nyuso za visirani, yaani mtu asubuhi amenuna na sijui sasa anamnunia nani. Utafikiri mtu kalazimishwa kuishi au kuamka asubuhi. Kama …

Tukiwa Na Kitu Hiki Katika Maisha Yetu Tumepata Yote

Tunaweza kufanya kila kitu katika maisha yetu lakini kama tukikikosa kitu hiko kwenye kila eneo la maisha yetu tunakuwa watu waajabu sana.  Ni kitu cha kipekee kinachowatenganisha na wengine , ndiyo kitu pekee kinachotufanya sisi tuonekane ni watu wa aina gani. Huenda ni kweli tunajifunza katika maisha yetu juu ya mambo mbalimbali  lakini kama tumekosa …

Uchambuzi wa kitabu; Philosophy of Happiness( Falsafa Ya Furaha)

Furaha ni kitu muhimu kwetu sote. Kwa mtu binafsi na dunia kwa ujumla wote tunahitaji furaha. Mwandishi Avitus N Leonard anatushirikisha umuhimu wa kuwa na furaha katika maisha yetu. Hiyo ndiyo sababu iliyomsukuma kukaa chini na kuandika kitabu hiki kizuri juu ya falsafa ya furaha. Mwandishi ameandika mengi na nimejifunza mengi na yafuatayo ni machache …

Kama Unataka Mafanikio Basi Usiache Kujenga Urafiki Na Mtu Huyu

Mpendwa rafiki, huwa tunakatishana tamaa kutokana na kuwaambia watu ndoto zetu ambao hawafanani na sisi kimaono na hata kimtazamo kabisa. Ukienda kumuomba ushauri mtu aliyekata tamaa ya maisha sidhani kama utapata tumaini la maisha kutoka kwake. Kuna watu ukienda kuongea nao unajihisi tayari wewe ni mwanamafanikio  lakini kuna wengine ukiongea nao wanakutoa katika hamasa ya …

Tatizo Lolote Huwa Linaanza Na Kitu Hiki

Mpendwa rafiki, Kansa huwa inaanzia sehemu ndogo ya mwili na kuenea mwili mzima kama ukichelewa kuitibu itasambaa mwili mzima. Vivyo hivyo hata kwa matatizo yanayotukabili kila siku, tatizo moja usipolitatua litaendelea kukusumbua kila siku na litakuwa kubwa na kusambaa kama kansa inavyosambaa mwilini. Hata siku moja mti hauwezi kuanguka kwa kukatwa shoka moja bali huwa …

Design a site like this with WordPress.com
Get started