Ni kawaida watu kupigwa kwenye suala la fedha. Wale wanaotafuta mafanikio ya haraka kwao kupigwa fedha ni jambo la kawaida sana. Wengi wamelizwa na matapeli kwenye eneo la fedha, wengine wameibiwa na kutapeliwa fedha kwa njia ya simu na nk. Baada ya kutapeliwa fedha huwa tunakua na maumivu makubwa sana. Kama tunavyojua tena kutoa pesa …
Continue reading "Jinsi Ya Kuepuka Maumivu Ya Fedha Baada Kupoteza Fedha Zako"