Mwandishi wa kitabu njia 52 za kuwa na maisha bora mwandishi Rolf Dobeli ametushirikisha katika kitabu chake. Kwenye kitabu cha Tano za Juma alichoandika mwandishi Makirita Amani ameweza kukichambua vizuri na hapa mimi leo ninakushirikisha njia moja ya kuwa na maisha mazuri. Njia hiyo ni, " Unachoona kwa wengine na kukitamani, siyo bora kama unavyofikiria. …
Continue reading "Njia Moja Ya Kuwa Na Maisha Mazuri Kati Njia 52"