Kuna maeneo ambayo ukishindwa dunia haitakulaumu lakini kuna maeneo ambayo ukishindwa kufanya kile unachopaswa kufanya dunia lazima itakulaumu. Dunia itakulaumu pale wewe utakaposhindwa kwenye kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wako. Kwa mfano, kitu chochote ambacho kipo ndani ya uwezo wako ukikishindwa utaonekana ni mzembe. Kuwa na uzito uliopitiliza ni uzembe wa mtu mwenyewe kwa …
Continue reading "Ukishindwa Kwenye Kitu Hiki Wewe ni Mzembe"