Mpendwa rafiki yangu, Maisha ni makubaliano bila makubaliano hakuna maisha (bargaining). Ili tuweze kupata kitu chochote lazima kwanza tufanye kwanza makubaliano na makubaliano huwa yanatokea katika pande mbili. Lengo la makubaliano yoyote ni kila mtu kushinda na inapotokea mmoja kashindwa mwingine kashinda inakuwa siyo aina bora ya makubaliano kila mtu anatakiwa aondoke akiwa ameridhika katika …
Continue reading “Hii Ndiyo Aina Bora Ya Makubaliano Unayotakiwa Kufanya Kila Siku”