Mpendwa rafiki, Huwa tunafanya mengi ndani ya siku na huwa tunachoka na mwili ukichoka dawa yake ni kupumzika hivyo tunapolala tunakuwa tunaupa mwili nafasi ya kupumzika na kukusanya nguvu mpya za kwenda kufanya kazi tena siku inayofuata. Kimsingi huwa tuna aina mbili za akili ambazo ni; conscious mind na subconscious mind. Akili ambayo inafanya kazi …
Continue reading “Kabla Hujalala Leo Hakikisha Unafanya Kitu Hiki Muhimu Kwako”