Mpendwa rafiki yangu, Dunia imeshijipanga kuwavuta watu kwenye vitu ambavyo havina maana juu ya maisha yao. Ukijaribu kutafakari utaona maisha ya watu wengi bado hawajajua nini haswa wanataka katika maisha yao. Na mafanikio ya kwanza ni kujua nini unataka kwenye maisha yako na baada ya kujua kuwa tayari kulipia gharama kuhakikisha unapata kile unachotaka. Maisha …
Continue reading “Eneo Pekee La Fedha Linaloonesha Kila Mtu Ni Tajiri”