Kuna msemo mmoja unaosema kwamba kama unafikiri elimu ni ghali sana jaribu ujinga. Ukiona vya elea ujue vimeundwa. Kumbe basi, kila kitu kizuri tunachokiona ujue kimefanyiwa kazi. Kama hutaki kupata vizuri basi tumia vibaya. Hapa ndiyo ule msemo unakuja kama unafikiri elimu ni ghali sana jaribu ujinga. Watu huwa hatuko tayari kulipia gharama ya vile …
Continue reading “Kama Unaona Elimu Ni Ghali, Jaribu Hiki Hapa”