Unakwama wapi? Ni rahisi kufanyia kazi maoni ya watu wengine na kusahau kufanyia kazi maoni yako binafsi. Watu wengi wanajali maoni ya wengine kuliko kujali maoni yao. Ni kawaida ya watu wengi kuishi maisha ya watu wengine na kusahau kuishi maisha ya ndoto zao. Wengi hawafuati mioyo yao. Kama kila mtu angekuwa anafuata moyo wake …
Continue reading “Jifunze Kumsikiliza Mtu Huyu Na Utapiga Hatua Kubwa”