Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri. Leo ni siku bora sana na ya kipekee kwetu hivyo tunaalikwa kumshukuru Mungu kwa zawadi ya siku hii ya leo, lakini pia, tutumie vizuri zawadi yetu tuliyopewa leo. Kama bado hujapata nakala yako ya kitabu …
Continue reading "Njia Rahisi Ya Kuepuka Kutafuta Kitu Kwa Muda Mrefu"