Maisha ya binadamu yana utatu. Utatu huo ni mwili, akili na roho. Na kufanikiwa kwenye maisha ni lazima ufanikiwe kwenye maeneo hayo yote matatu, kimwili, kiroho na kiakili. Watu wengi huwa wanapendelea kuwekeza kwenye eneo moja zaidi ambalo ni eneo la mwili. Je, wewe mwenyewe unapendelea kuwekeza eneo gani zaidi? Maisha yako yanapaswa kuwa na …
Continue reading “Huwa Unapendelea Kuwekeza Eneo Gani Zaidi Kati Ya Haya?”