Kama unataka kupokelewa kokote unakokwenda, kila mtu unayekutana naye mpe tabasamu, tabasamu la kweli kabisa kutoka ndani yako. Kuwa na sura ya kisirani inasababisha kujikosesha bahati kwenye kila eneo la maisha yako. Kama una fanya biashara na huna tabasamu funga hiyo biashara yako kwa sababu tabasamu ndiyo linawavuta watu kuja kwako. Ukiona huuzi jaribu kujichunguza …
Continue reading “Hii Ndiyo Njia Rahisi Ya Kupokelewa Kokote Unakokwenda”