Rafiki, Usiishi tu kama mbuzi, bali ishi kama binadamu mwenye uwezo mkubwa wa akili. Ishi kwa malengo, unatakiwa kuwa na malengo ya siku, wiki, mwezi na hata mwaka. Usipokuwa na malengo ya kitu chochote utapoteza siku, muda bila kujua hata muda na siku zimeishaje. Wengi hawajiongozi kwa ratiba tokea wanapoamka asubuhi na mapema bali wanaongozwa …
Continue reading “Haya Ndiyo Maisha Ambayo Hayana Msingi Wa Kuishi”