Rafiki, Hakuna mtu anayeamka na kujua atakwenda kukutana na nini katika siku yake. Hivyo basi mara nyingi siku inakuwa na mambo mengi, hata kufanikisha kile ulichopanga kufanya ni jambo la kushukuru sana maana kila siku huja na mambo yake ambayo mengine yapo nje ya uwezo wetu. Licha ya changamoto zote za siku, na kama tunavyojua …
Continue reading “Kabla Hujaenda Kulala Hakikisha Unajivunia Jambo Hili Moja”