Mpendwa Rafiki yangu, Mpaka tunaona kazi yoyote imekamilika basi jua kuwa kuna mchakato mkubwa umefanyika. Mafanikio yoyote uliyopata au unayotegemea kuyapata yana mchakato wake. Watu wengi wanapenda kufurahia mafanikio lakini hawapendi kusikia mchakato wa mafanikio. Sasa kwenye kila ushindi wowote ule unaoujua wewe kuna kitu muhimu sana cha kujifunza. Kitu hiko siyo kingine bali ni …
Continue reading “Kwenye Kila Ushindi Unaoujua Wewe Kuna Kitu Hiki Cha Kujifunza”