Ukienda sehemu yoyote ile kuna mazoea ambayo tayari yameshajengeka kwenye eneo hilo na wanayachukulia kama ukweli na kiwango chao ambacho kila mtu anapimwa nacho. Ukienda wewe na ukafanya kwa utofauti utaletewa upinzani na kuonekana kama ni adui unafanya vitu ambavyo uliowakuta walikuwa hawafanyi. Utaweza kuulizwa hata yale unayofanya, unayafanya kwa mamlaka au amri ya nani? …
Continue reading “Mapinduzi Huwa Hayaletwi Kwa Kukumbatia Kilichopo”