Haijalishi unalipwa kipato kikubwa kiasi gani, unaingiza sana fedha ila ukikosa kitu ambacho nakwenda kukushirikisha hapa wewe utakua ni masikini tu. Kuna watu wanakusanya kweli pesa lakini wanatumia zote wanabakiwa watupu wakiwa hawana kitu. Unapata elfu kumi unatumia yote elfu kumi,kwa mtindo huo utaweza kutoboa? Ili ufanikiwe eneo la fedha unahitaji kujua mchezo wa fedha. …
Continue reading “Hata Kama Una Kipato Kikubwa Kiasi Gani Ishi Maisha Haya”