Mpendwa rafiki yangu, Ni rahisi sana kumfundisha mtu kazi lakini siyo kumfundisha mtu tabia. Ni kweli watu wanapounganika na kuishi kuwa kitu kimoja ina hitaji kazi. Kwa sababu kila mtu ana tabia zake za toke alivyo zaliwa ndiyo maana pale wanandoa wanapokuwa wanapambana kila mmoja kumrekebisha wenzako na kuona kuwa yeye ndiyo yupo sahihi kadiri …
Continue reading “Tabia Ya Kuiepuka Kufanya Katika Mahusiano Ya Ndoa”