Jana tulijifunza madhara ya kufanya kazi bila kuwa na mapumziko. Na tuliona ni kwa namna gani mwili wa binadamu unavyohitaji mapumziko. Kwenye maisha lazima uwe na mlinganyo sawa,ukisema unaweka kazi tu mambo mengine yataharibika. Kwa kuweka kipaumbele mbele kikubwa kwenye kazi tu , utayapuuza maeneo mengine ya maisha yako ambayo yanakuwa dhaifu na kuathiri maisha …
Continue reading “Hiki Ndicho Kinachotokea Pale Mtu Anapoweka Kipaumbele Kwenye Kazi Tu”