Mpendwa rafiki yangu, Kila siku dunia inabadilika, hivyo usipokuwa ni mtu wa kubadilika na wewe lazima utaanguka vibaya. Uchumi unabadilika hata asili siku hizi ibadilika, watu waliokuwa wanategemea mvua ili wa lime lakini mwaka mambo yamekwenda tofauti. Kwahiyo, tuwe tunajiandaa na chochote kinaweza kutokea hakuna hali ya kudumu. Usiwe kama mti, kuwa mtu unayeweza kubadilika, …
Continue reading “Jinsi Ya Kuanza Siku Yako Ukiwa Na Fikra Nyingi Za Kifedha”