Mpendwa rafiki yangu, Hakuna mtu ambaye hajui umuhimu wa fedha, fedha ni muhimu sana katika maisha yetu na hilo halina ubishi. Fedha ni jawabu la mambo yote. Fedha ni mbadilishano wa thamani, au tunaweza kusema fedha ni zao la thamani. Kwahiyo, ili uweze kupata fedha zaidi unahitaji kufanya haya yafuatayo; Kama unataka upate fedha, unatakiwa …
Continue reading “Njia Mbili Za Uhakika Za Kupata Fedha Unazotaka”