Usisahau kujikumbuka wewe mwenyewe. Watu huwa wanafanya kazi na kuwakumbuka watu wengine na kisha kujisahau wao wenyewe. Kuwa na mfumo mzuri wa kutenga fungu la burudani. Hili linakuwa fungu la kujipongeza au kujizawadia kitu kutokana na kazi au mafanikio uliyopata kwenye maisha yako. Kumbuka wewe ndiyo unafanya kazi hivyo unatakiwa kujipenda na kujipongeza. Kwa nini …
Continue reading “Usisahau Kumkumbuka Mtu Huyu Muhimu Sana Kwako Kama Unafanya Kazi”