Haya Ndiyo Yawe Malengo Yako Ya Kwanza Ya Fedha

Chochote ambacho kinatokea sasa kwenye eneo lako la fedha, ni matokeo ya tabia ambazo umejijengea. Hakuna kinachotokea kama ajali, huwezi kupanda mahindi ukavuna mbaazi. Kila kinachotokea umekisababisha kutokea. Ni kawaida ya watu, wakishakuwa na fedha zinakuwa zinawawasha wanahakikisha kwanza wazitumie ndiyo wajisikie. Ndiyo maana watu wakiwa na hela ni rahisi kutapeliwa au kutumia hovyo kwa …

Njia Yenye Ushawishi Kwenye Kila Eneo La Maisha

Siyo njia nyingine bali ni nkia ya kuuliza maswali. Njia ya kuuliza maswali ina ushawishi kwenye biashara, kazi, huduma nk. Ukitaka kuwashawishi watu na kukubaliana na wewe, tumia njia ya maswali na siyo maelezo. Mara nyingi binadamu hapendi kuamuliwa, bali anapenda kuamua kupitia kuuliza maswali, yanamjengea fikra sahihi na kufanya maamuzi sahihi. Ukiwa katika mauzo …

Siri Namba Moja Ya Kupata Fedha

Kwenye kitabu cha The Baron letters, mwandishi Gary Halbert alimwandikia barua mtoto wake akiwa gerezani. Gary Halbert alikuwa mwandishi bora kabisa wa matangazo na hivyo alitumia muda wake kumshirikisha mtoto wake yale yote aliyojifunza kwenye maisha, kuanzia kuwa na afya bora, kupata nk. Hata wewe kama ni mzazi unaweza ukawa unaandika yale uliyojifunza na kumshirikisha …

Una Uhakika Wa Kufanikiwa

Sina uhakika kama itakufaa lakini ukichagua kitu kimoja au vichache ambavyo utavifanya kwa maisha yako yote, ukawa unajifunza kila siku na kuchukua hatua, halafu ukaachana na mengine yote wanayofanya wengine,Una Uhakika Wa Kufanikiwa. Watu wengi hawajatulia kwenye kitu kimoja, wamekuwa wanahangaika na kila jambo linalokuja mbele yao. Na mwisho wa siku wanakuwa wamechoka kweli lakini …

Hiki Ndicho Kitakachopima Mafanikio Yako

Katika msingi wa falsafa ya ustoa unaamini kwamba dunia iko hivyo ilivyo yaani hakuna kitu kizuri wala kibaya na hakuna kitu kirahisi wala kigumu. Hapa tunajifunza kuwa, mtazamo wako ndiyo chaguo lako. Je, una mtazamo gani chanya kuhusu kufanikiwa kwenye maisha yako? Kwa mfano, wako ambao wanasema somo la hisabati ni gumu na wako ambao …

Rasilimali Yenye Uhaba Kwa Kila Mtu

Rasilimali yenye uhaba kwa kila mtu ni fedha. Kila mtu ana uhaba wa fedha hilo halina ubishi, ndiyo maana kila siku mtu anajituma ili kuendelea kupata fedha zaidi. Ingekuwa haina uhaba basi watu wasingefanya kazi kwa sababu inapatikana kirahisi. Angalia muda, ni rasilimali ambayo inaleta kila kitu kwenye maisha lakini haina uhaba watu wanatumia muda …

Mbinu Ya Kutokujiumiza Pale Unapopoteza Fedha

Pata picha inavyokuuma pale unapopoteza fedha, utajisikiaje? Kila mmoja wetu kuna maumivu ambayo anayapata pale anapopoteza fedha zake. Iko mbinu ambayo inaweza kukusaidia kutokuumia pale unapopoteza fedha. Ukipoteza fedha chukulia kama umetoa sadaka au umemmsaidia mtu asiyejiweza kwa kufanya hilo litakuzuia usiumizwe na kupotea kwa fedha. Bila kufanya hivyo, utajikuta unajiumiza kila wakati. Hatua ya …

Msingi Wa Kupata Fedha Zaidi

Msingi ni huu; kila unapokuwa unahitaji fedha zaidi, jiulize swali hili, ni mtu gani naweza kumsaidia apate fedha zaidi? Ukipata jibu, hapo ndipo mahali unapoweza kupata fedha zaidi. Utaweza kupata fedha zaidi pale tu utakapomwezesha mtu mwingine kupata fedha zaidi. Makosa makubwa ambayo watu wengi huwa wanayafanya kwenye kutaka kupata fedha zaidi ni kuangalia ni …

Asante Ya Mtu Huyu Inapaa Mbinguni

Huwa tunafikiri kutafuta ufalme wa Mungu ni kusali na kuhudhuria kwenye nyumba za ibada mara nyingi. Sina uhakika kama itakufaa lakini kutafuta ufalme wa Mungu ni pamoja na kusaidia watu wake. Hata yule anayesali sana hajawahi kumuona Mungu kwa macho, ni katika kusaidia watu wake ndiyo tunamuona Mungu kwa macho. Unaposaidia watu kupitia kile unachofanya, …

Jilazimishe Kuishiwa Kiakili Kwenye Eneo La Fedha

Kutoka kwenye kitabu cha Tano za Majuma Ya Mwaka, kilichoandikwa na Kocha Dr Makirita Amani, kuna dhana ambayo nilijifunza katika eneo la fedha, nimeona ni vema na wewe nikushirikishe. Karibu sana rafiki yangu, “Kilio cha wengi kwenye fedha ni kwamba, watu wakipata fedha haikai na hata wakiweka akiba, haikai. Yaani wakipata fedha au wakiwa na …

Design a site like this with WordPress.com
Get started