Ni maisha ambayo hayatathiminiwi. Mwanafalsafa Socrates aliwahi kunukuliwa akisema, maisha ambayo hayatathiminiwi, hayana maana kuishi. Watu wengi hawajifanyii tathimini kwenye kile wanachofanya ndiyo maana hawaoni matokeo mazuri, hawajui kama wanaenda mbele au wanarudi nyuma. Fanyia tathmini kazi yako. Jiulize kazi unayofanya inakulipa? Na itakufikisha kweli kule unakotaka kufika?Kazi unayofanya inasaidia jamii au ina haribu maisha …
Continue reading “Haya Ndiyo Maisha Ambayo Hayana Maana Kuishi”