Mpendwa rafiki, Ni rahisi watu kuongelea biashara kwa njia ya mdomo, miaka nenda rudi, na ziko sababu nyingi zinazowafanya wasichukue hatua lakini ukizichunguza ni za uwongo, wako ambao watakuambia mtaji ndiyo shida na sababu nyingine nyingi ambazo hazina mashiko. Katika zama hizi, kutegemea kipato kimoja ni hatari sana na lolote linaweza kutokea hata katika hicho …
Continue reading “Usiingie Katika Biashara Kama Una Roho Hii”