Ukitaka watu wakubaliane na wewe usiwakosoe. Kisaikolojia mtu akiona umeshamkosoa huwa anatafuta namna ya kujilinda. Watu wanataka wafanye ambacho wao wanaona wameamua wao kufanya maamuzi na siyo kulazimishwa. Kwa mfano, mtu mmoja alikuwa ni kiongozi wa kiwanda fulani alikuwa anawalazimisha wafanyakazi wa kiwanda hicho kuvaa kofia.Alikuwa anatumia mamlaka yake kila anapokutana na mtu ambaye hajavaa …
Continue reading “Njia Ya Kushawishi Watu Kukubaliana Na Wewe”