Katika jamii zetu ni ngumu watu kukosa utegemezi. Kama hutegemewi na wazazi, utategemewa na watoto, ndugu nk. Hata kama unawapenda sana wazazi na ndugu zako kiasi gani unapaswa kuwa na kiwango katika usaidizi wako. Utajikuta huendi mbele kwa sababu na wewe pia unahitaji kutengeneza maisha yako. Lakini hupaswi kulalamika kuwa huendelei kwa sababu nimekuwa na …
Continue reading “Jinsi Ya Kukabiliana Na Changamoto Ya Wategemezi Wengi Uliokuwa Nao”